Bahati ya mwisho kwa wauza mihadarati
Serikali ya Rwanda inawashauri wale wote wanaohusika na biashara ama ulanguzi wa madawa ya kulevya kusitisha shughuli zao hizo katika msimu wa miezi sita, la sivyo watachukuliwa hatu kali mno. Katika mahojiano na waandishi wa habari mjini Kigali, waziri...