Atumia njia ya kikatili kumuua mkewekwa kumkalisha kwenye kiti cha umeme ili kumteketeza
Mwanamume mmoja nchini Uingereza ajulikanaye kama Andrew Castle alikumbwa na huzuni zilizoambatana na stress baada ya mke wake kuomba talaka ili kuivunja ndoa yao Andrew Castle mwenye umri wa miaka 61 hakuweza kuvumilia kuona ndoa yao inavunjika kiasi...